ni moja kati ya mitaro mingi iliyojaa na haijazibuliwa. Jukumu la manispaa ya jiji.
moja kati ya maeneo mengi jijini Dar es salaam yanayofanyika biashara ya chakula huku pembeni kuna mtaro uliojaa maji machafu.
mmmmmm
Inatia kinyaa kwakweli, na hapa mvua haijanyesha, ikinyesha inakuwa balaa zaidi, kipindupindu waziwazi. Manispaa ya jiji mmeliona hilo?
Yuck!!
ReplyDelete