kutokana na mvua kuendelea kunyesha kwa wingi nyaya za umeme ambazo zimechakaa/hazikoimara zinakatika na kusababisha shoti ya umeme na hivyo kuleta hofu kwa wakazi wanaongukwa na maeneo yenye nguzo zilizokaa kwa muda mrefu na kuonekana kuchakaa na vile vile ni hatari kubwa hasa kwa watoto wadogo. wapi tanesco kurekebisha matatizo kama haya.
Friday, May 11, 2012
TANESCO UZEMBE - FULL KUJIACHIA!!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
Kaa mkao wa kula hadithi nzuri zenye mafundisho, burudani na ushauri kutoka kwa Irene Mwamfupe Ndauka. coming soooon
-
Mikono ni mojawapo ya sehemu muhimu katika mwili wa binadamu. Mikono hutumika kufanya shughuli zote za nyumban...
No comments:
Post a Comment