Staa wa muziki wa kizazi kipya  Bongo, Naseeb Abdul  ‘Diamond  
Platinumz’ amevuta mkoko wa Kijanja  wenye thamani ya ‘mkwanja wa 
Kibongo Milioni  60 keshi.
Akizungumza na Teentz.com muda mfupi baada ya kupokea ‘dinga’ hiyo aina ya Land Cruiser Prado TX kutoka kwa wakala aliyekuwa akishughulikiwa mpango mzima wa kuingia kwake hapa Bongo, Diamond alifunguka kuwa alikuwa na mpango wa kuvuta mkoko ‘dizaini’ hiyo kitambo lakini kuna mambo kadhaa yakawa …
Akizungumza na Teentz.com muda mfupi baada ya kupokea ‘dinga’ hiyo aina ya Land Cruiser Prado TX kutoka kwa wakala aliyekuwa akishughulikiwa mpango mzima wa kuingia kwake hapa Bongo, Diamond alifunguka kuwa alikuwa na mpango wa kuvuta mkoko ‘dizaini’ hiyo kitambo lakini kuna mambo kadhaa yakawa …
“Nashukuru
 Mungu kuwa  mpango wangu umetimia, nilipanga hivi kitambo lakini kuna 
baadhi ya mambo yalichelewesha hatua hiyo, najua watu watasenama mengi 
kuhusu  hili lakini ukweli ni kuwa  huu ni mchuma wangu” alisema 
Diamond.


No comments:
Post a Comment