Saturday, November 5, 2016

Small Luxury wedding decor by Rachel's Choice Events











It's Holiday Season


Birthday party decorations by Rachel's Choice Events






Give yourself a Gift. Get your Holy day season gift package

It’s the most wonderful season of the year”  GIVE YOURSELF A GIFT THIS YEAR. LET US DO THE DECORATION FOR YOUR OFFICE/HOTEL/RESTAURANT & SHOP. EVEN THE FAMILY HOME !

Our holiday decoration services are perfect for anyone who is -has better things to do..like actually running a business -looking to bring holiday cheer to the team...Trust us, in today's economic climate, your employees need it! -too busy with every day life -looking to maintain family traditions -tired of hanging their own lights year after year -not feeling up to decorating, but want the holiday spirit -stuck and not sure what to do

Take the stress off yourself and let us take care of your holiday decorating and lighting.

Let us transform your interior spaces and distinctive exteriors
into a dazzling Holiday wonderland.

Get the most from your holiday decorations.
Call Early 0767634082
Bookings are limited as the holiday season IS UPON US.

Holiday Season from Rachel's Choice Events

Rachel Ndauka (Rachel's Choice Events ) C.E.O 

Friday, June 22, 2012

Filamu ya Maximo Yanga yafika tamati

HATIMAYE ‘filamu’ ya ujio wa aliyekuwa Kocha wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, Marcio Maximo kujiunga na Yanga imefikia tamati jana, baada ya uongozi wa klabu hiyo kukiri Mbrazil huyo kutokuja na kuwa wanatarajia kumtangaza kocha mpya wiki ijayo.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa Yanga, Mwesiga Selestine alisema, kocha huyo atatoka katika nchi zilizopo Amerika Kusini au Ulaya.

Alisema, uongozi ulipitia maombi ya makocha 25 waliotuma wasifu zao kwa ajili ya kutaka kibarua katika klabu hiyo, ambapo wamewachuja na kubaki watano.
Akizungumzia suala la Maximo, katibu huyo alisema, wameamua kuachana naye kwa vile bado ana mkataba na klabu yake ya Democrata FC ya Rio de Janeiro, Brazil huku pia akipata ofa za kufundisha timu mbalimbali za taifa, ikiwemo Rwanda ‘Amavubi’.

“Kwa sababu hizo, isingekuwa rahisi kumchukua Maximo kufundisha Yanga, kwa mantiki hiyo tumeshafanyia mchujo maombi na kubaki makocha watano, ambapo mmojawapo ndiye atakayekuja kuinoa Yanga,” alisema.
Hivi karibuni, Yanga ilitangaza ujio wa Maximo nchini kwa ajili ya kurithi mikoba ya Mserbia, Kostadin Papic ‘Clinton’ ambaye alitupiwa virago miezi michache kabla ya kumaliza mkataba wake, kutokana na kushindwa kuiletea mafanikio timu hiyo.

Hata hivyo, kadiri siku zilivyokuwa zikisonga mbele, ujio wa Maximo ulibaki kuwa ‘kiza kinene’ huku uongozi ukitoa ahadi kila kukicha, kabla ya jana kukiri kuwa hawezi kuja tena.
Katika hatua nyingine, kikosi cha Yanga kinaendelea na mazoezi yake kwenye Uwanja wa Kaunda chini ya Kocha msaidizi, Fred Felix Minziro, ikiwa ni maandalizi ya michuano ya Kagame inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi Julai 14.